NEWS: Discount viagra europe Discount phentermine prescription Discount viagra perscription drug Order phentermine on line? 92 accepted cod phentermine Compare viagra prices, Pharmacy online phentermine Purchase tramadol online. Phentermine sites that ship cash on delivery Viagra retail discount Home made viagra Valium vs xanax Xanax no prescription Viagra sales online Erection viagra Free viagra without prescription Phentermine fda Xanax withdrawl Effects phentermine side strong Information viagra woman What does phentermine do to your heart Long term phentermine use Viagra testimony Phentermine very cheap Buying phentermine Cialis pill? Discount online phentermine Buy cheap phentermine yellow Tramadol hcl tab Phentermine hydrochloride ship to missouri: Buy viagra prescription online Compare phentermine prices Cialis compare levitra viagra Picture of generic xanax Tramadol uses Recreational viagra use Generic india viagra Cheap viagra generic Cialis drug Natural phentermine Phentermine cheapest price 5 no perscription! Cialis and pomegranate interaction Viagra for woman? Ionamin phentermine Cheapest xanax online! Xanax drug interactions Buy cod phentermine Phentermine online Methadone and xanax Recreational viagra Viagra online sales Mexican phentermine Cod tramadol! Phentermine mexican pharmacies online Phentermine pictures Cheap phentermine without a prescription Compare viagra cialis levitra. Xanax master card Long term effects of xanax, Viagra cialis levitra comparison dosages Does viagra woman work 5 in round white tablets no imprint code 50 mg viagra Phentermine shipped cod Phentermine for less Viagra information Phentermine free consultation? Viagra kaufen Is tramadol a narcotic Cheap quality viagra Phentermine and topiramate for weightloss Diet loss phentermine pill weight Diet phentermine pill sale Kevin harvick viagra Xanax withdrawls Purchase viagra online Cialis new viagra. Viagra for woman information Online ordering viagra Viagra prescription uk Buying phentermine: Can i take xanax with zocor and procardia Phentermine overnight Does viagra work Low natural resources for the drug phentermine Viagra treatment migraine headache Buy in online uk viagra, Apcalis cialis 180 phentermine Black market costa rica pharmacy phentermine no imprint code Buying tramadol online Loss phentermine story success weight How much weight will you lose on phentermine Online xanax prescription Cialis compared to viagra Paxil with phentermine interactions Xanax addiction treatment. 0 buy by popl powered viagra wordpress Cheap tramadol 180 Viagra in woman Lethal doses of klonopin and xanax Stopping xanax Cialis overnight! Phentermine and urine drug screen Smoking xanax: Ingredient phentermine Saturday delivery phentermine Viagra prescription medication Free cialis 25 mg Viagra uses Xanax detoxification Viagra pictures Pfizer viagra online Online adipex phentermine prescriptions. Side effects of tramadol hydrochloride On line prescription viagra 100 phentermine Female spray viagra Tramadol hc Free viagra sample I need to find cheap phentermine delivered to fl Online pharmacy phentermine xenical meridia Compare phentermine prices Canada cialis generic? Xanax shipped cod No perscription xanax cheap Acquisto cialis Generic india viagra Buy cheap purchase uk viagra Viagra price Online phentermine pharmacy best cheapest Tramadol 50mg. Buy viagra online get prescription Addiction recovery xanax, Price for generic viagra Diet inexpensive phentermine pill Generic viagra canada No prescription phentermine Phentermine withdrawal symptoms Cheap viagra order online Cheapest viagra price Phentermine online doctor prescribed? Buy cialis uk Fast delivery phentermine, Keyword prescription qoclick tramadol without Tramadol dog Phentermine wholesale Snorting phentermine Discount phentermine online Tramadol online Cheap tramadol no prescription Cialis comparison levivia viagra Cheapest viagra online 92 accepted cod phentermine Cheap phentermine with online consultation Viagra alternatives uk Buy prescription tramadol without Buying viagra in the uk Xanax description Oxycontin xanax bars perclesept and lortab wha Generic viagra cialis Generic lowest price viagra Phentermine at cost with no prescription Picture of xanax pill Phentermine shortage Phentermine cheap free shipping Phentermine yellow 30 mg Addiction tramadol Tramadol hydrochloride tablet Phentermine cod delivery Online phentermine order Cyber pharmacy viagra Dangers of phentermine heart Buy cheap tramadol Xanax alcohol Cialis generic Tramadol prescription Free phentermine prescriptions 50 mg viagra Phentermine studies Viagra and levivia Phentermine feedback How long between phentermine and meridia Low cost phentermine Phentermine and topiramate for weightloss Tramadol hc Viagra overnight delivery Phentermine success stories Viagra cheap prescription Tramadol hydrochloride capsules Free shipping phentermine Diet pill addiction phentermine? Generic cialis soft tabs Side effects of xanax xr: Phentermine quick Buy xanax on line How long does xanax stay in the system Importing cialis from canada to us Buy cheap domain onlineatspacecom xanax Phentermine and diet pill

June 2004


Yaani wazungu wakisikia Afrika wanafikiri ni kama Ethiopia miaka ya 80 au Rwanda wakati wa mauaji ya halaiki. Wanadhani kila kukicha tunakatana mapanga au tunagalagala chini tukisubiri kufa kwa njaa kali. Tazama nchi kama Marekani, watu zaidi ya milioni mbili wako jela, watu zaidi ya milioni 40 hawana bima ya afya (hawa ni wale vibogoyo, kwa mfano, maana hawana hela ya kwenda kwa daktari wa meno!), idadi ya watu wasio na makazi ni kubwa kuliko nchi yoyote ya ulimwengu wa kwanza, watoto wanaoishi ghetto wanakula jumatatu hadi ijumaa chakula kingi maana jumamosi na jumapili nyumbani hakuna chakula, kwa mwaka watu zaidi ya 15,000 wanauawa kwa bunduki, watoto zaidi ya 100,000 wanatekwa…huu ni ulimwengu wa kwanza au wa kumi? Ubepari unaficha mengi. Majumba, sinema, magari, barabara nzuri vinaficha umasikini na unyama wa mfumo huu. Ni kama Afrika Kusini. Majengo mazuri, barabara za kisasa lakini Johannersburg, kwa mfano, inajulikana kama “rape capital of the world.” Kila dakika anabakwa mtu! Ukiacha Moscow hakuna jiji lenye uhalifu kama Johannersburg. Lakini tazama mandhari yake.

Eti Iraki iko “huru” sasa. Katamka Rais, mwizi wa kura, wa hapa Marekani, Bwana Kichaka (Bush). Hii ni sawa na Afrika Kusini ambako watu weusi wanatawala kisiasa ila nguvu za kiuchumi, ambazo ndizo nguvu halisi, ziko mikononi mwa Makaburu ambao wanainunua Tanzania kwa kasi ya mwanga. Uchumi wa Iraki, ninamaanisha mafuta, uko mikononi mwa makampuni ya Amerika. Ni Wamarekani ambao watakuwa wanatoa maamuzi makuu juu ya sera na biashara ya mafuta. Hii dunia ya uongo, tufanyeje? Nyanyuka mlalanjaa!


Baba Ukweli na Mama Ukweli na rafiki toka kisiwa cha Martinique (alikotokea Frantz Fanon, yule mwandishi wa kitabu cha Waliolaaniwa). Posted by Hello


Ndesanjo akiwa utelezini barafuni. Toka kuteleza kwa kisigino pale Mpirani, mkoani Kilimanjaro hadi kwenye barafu. Hapa ni nje ya jiji la Seattle, jimbo la Washington Posted by Hello


Wapambanaji wa kundi la kimapinduzi lililotikisa Marekani la Black Panther wakiwa Arusha, Tanzania Posted by Hello


Kila mwaka mji wa Toledo hapa Ohio huwa unasherehekea siku ya Tanzania. Siku hii huandaliwa na shirika la Great Lakes Consortium ambalo hushughulika na miradi mbalimbali ya maendeleo hapo Tanzania. Pia mji wa Toledo ni mji-dada wa mji wa Tanga. Picha hii inaonyesha siku ya Tanzania mwaka juzi, ambapo vinyago na vitu mbalimbali toka Tanzania viliuzwa. Posted by Hello

Hii ni sehemu ya shairi jingine ambalo ni refu kidogo. Nitakupa beti mbili tu. Linaitwa Utamaduni Msalabani.

Kura twapiga, sadaka twatoa
Kodi twalipa, swala twasali
Walalanjaa
Cha moto, mbona
Bado Twakiona?

Demokrasia ghasia
Mafukara twauziwa,
Jehanamu ya moto
Masikini twatishiwa,
Wa kusema wamesema
Wa kusikia ni viziwi,
Hivi chukua chako mapema
Ni azimio la wapi?

Hili ni sehemu ya moja ya mashairi ambayo yatachapwa karibuni. Linaitwa Amerika:

Hii hapa Amerika
Uliyoililia
Harakaharaka ndio mwendo
Polepole haina baraka
Baridi kali, sheria kali
Utamaduni baridi.

Binadamu wanaongea na mbwa
Wao kwa wananuniana!

Wakati nikiishi Dar, kila asubuhi na jioni nilisikia sauti ya muezzin (muazini) akiita Waislamu wakasali. Niliishi hatua chache toka msikitini (pale Tabata na Mbagala). Sauti ya “Swalaaaa….,” ilikuwa ikisikika kama vile anayeomba yuko dirishani. Sasa hapa Marekani, kila jioni na asubuhi nasikia sauti ya risasi na ving’ora vya magari ya polisi na magari ya wagonjwa. Hizi risasi sijaweza kujua zinatokea wapi. Ninahisi kuna kambi karibu na hapa ninapoishi, barabara ya Uwanja wa Ndege, nje kidogo ya mji wa Toledo, Ohio. Ule mti niliosema unanitisha, kuwa unaweza kutuangukia chumbani siku moja, bado upo umesimama. Asubuhi ya leo niliutazama weee….

Wi-fi ni mtando wa mhahalishi (internet) ambao hautumii waya wala mnara. Kama una tarakilishi (kompyuta) ya mkononi unaweza kuingia kwenye webu ukiwa popote pale. Kwa kimombo wanaita wireless, lakini kwa kiswahili inaitwa mtandao usiwaya.

Kwa sasa watu wanaweza kuwasiliana kwa kutumia

tarakilishi (computer) iliyoungwa kwenye mtandao (network)

kuweza kuvinjari kwenye mdahalisi (internet) ikiwa tu

wanajua anuani ya baruapepe (e-mail) ya wanaemhitaji.

Baruapepe yaweza kuwa kwenye tovuti (website) ambayo

wewe utahitaji kubofya (to surf) tu ili kuipata.

Teknolojia hii imesitisha matumizi ya kinakilishi (fax)

na pia imeongeza kasi ya upatikanaji wa maarifa ya

ujasiliamali (entrepreneurship knowledge) miongoni mwa wafanyabiashara.

Hivi sasa mchakato (process) wa maendeleo duniani unaanza

kuchukua sura tata(complex)kwani kila mahali panatafuta

asasi(resource! ) yake.

Nimemaliza kufunza wanafunzi kutengeneza blogu zao. Blogu ina umaarufu sana miongoni mwa matineja. Kwa mujibu wa shirika la habari la BBC asilimia kubwa ya blogu ni za matineja. Soma habari hiyo hapa.

Bush na wezi wenzie nasikia matumbo yao moto kutokana na filamu ya Michael Moore iitwayo Fahrenheit 911 ambayo pamoja na mambo mengine inaonyesha uhusiano wa familia ya Bush na Osama na pia wauaji wa Kinazi. Bado sijaitazama ila napanga kwenda wikiendi moja na familia. Kuna siku nilisema kuwa Moore ana kitabu kinaitwa Stupid Whitemen! Kumbuka kuwa yeye naye ni mweupe!

Kuishi ughaibuni kwenye nchi ambayo watu hawapendi mpira wa miguu (soka) ni jambo baya sana. Ukiongelea mpira wa miguu, football kwa kiingereza, wamarekani wanafikiri unazungumzia american football. Huu ni mchezo wa mabavu, unacheza huku ukiwa umevaa machuma usoni! Jambo ambalo sijaweza kupata ufumbuzi wake ni hili. Kwanini wanauita huu mchezo mpira wa miguu wa kimarekani (american football) wakati asilimia 99.99 ya huu mchezo unatumia mikono? Wauite handball!

Da! Hizi siku mbili tatu huyu mtu mweupe anayekalia hii nchi ya wahindi wa asili (native americans) amenikamata kweli. Unajua tena hii ni nchi ya kodi na bili! Hivyo lazima jasho likutoke. Naona watu wasio na hatia wanaendelea kukatwa vichwa katika aina mpya ya ugaidi.

Swali: Hivi kwanini unadhani kuwa mbingu au jehanamu utaipata baada ya kufa wkati vyote viko hapa duniani? Usikubali shehe au kasisi akudanganye maisha yako yote. Hoji! Kataa kudanganywa!
Tatizo kubwa ulilonalo ni kudhani kuwa ni kweli kasisi na shehe huwa “wanaongea na mungu.”

Tume ya kitaifa inayochunguza tukio la kigaida la Septemba 11, 2001, imesema kuwa hakuna ushahidi kuwa Saddam Hussein alihusika na shambulio hilo. Wamesema kuwa Osama alikuwa na uhusiano wa karibu na nchi za Pakistani (ambayo ni rafiki mkuu wa Marekani), Iran, na Saudi Arabia. Kumbuka kuwa Wamarekani waliambiwa, na wengi waliamini, kuwa Iraki lazima ivamiwe maana ilihusika na shambulio la jengo la World Trade Center. Ushahidi hakuna! Bush na makamu wake Cheney hawajui wajifiche wapi. Kila hoja waliyoitoa inapanguliwa. Habari zaidi soma ukurasa huu.

Mfumo wa uchumi wa kibepari ni kama barabara ya lami mchana wa jua kali. Ukiwa barabarani unaona mbele yako kama vile kuna maji. Kiingereza wanasema hiyo ni mirage. Ndivyo ilivyo hili taifa. Umasikini, hujuma, rushwa, magonjwa ya akili, ukimwi na vitu kama hivyo vimefichika sana. Je unajua kuwa watu milioni 43 hawana bima ya afya? Kama huna bima ya afya katika nchi kama hii wewe ni kama binadamu asiye na uhai!

Ninatazama sinema iitwayo Waco. Unakumbuka lile kundi la dini na Branch Davidians ambalo mwanzo wa miaka ya 1990 lilikuwa na ugomvi na serikali kisha yakatokea mapigano na FBI. Jumba lao liliungua moto. Serikali ilidai kuwa waumini hao waliamua kujiua. Wengine wanadai kuwa serikali iliwaua. Sinema hii inachambua kwa kina tukio hili. Habari zaidi za Branch Davidians nenda hapa

Kama Adamu na Hawa walikuwa na watoto wa kiume wawili (Kaini na Abeli), je watoto wa Kaini na Abeli walitoka wapi? Jibu ninalo, ila nakupa changamoto kidogo. Na je tunda la katikati ni lipi? Wengine wanadai kuwa ni tendo la ndoa. Mimi napinga. Hawa alikula kwanza mwenyewe hilo tunda kisha ndio akamshawishi Adamu ajaribu. Adamu naye akala mwenyewe. Je ni tendo la ndoa? Kama sio, ni tunda gani? Changamoto nyingine ya jumamosi ya leo ambayo ni siku ya sabato ya wayahudi.

Aliyekuwa Rais wa Marekani, Bill Clinto, alilala sebuleni kwenye makochi kwa zaidi ya miezi miwili baada ya kukubali mbele ya mke na mtoto wake kuwa alikuwa na uhusiano wa siri wa kimapenzi na Monica Lewinsky. Kama ingekuwa ni kiongozi wa Tanzania, nadhani mke ndiye angelala sebuleni. Au angerudishwa kwao, pamoja na kuwa mwenye makosa ni mume! Clinto ametoa siri hii ndani ya kitabu chake kipya kiitwacho My Life. Habari zaidi soma hapa.

Next Page »