NEWS: Discount viagra europe Discount phentermine prescription Discount viagra perscription drug Order phentermine on line? 92 accepted cod phentermine Compare viagra prices, Pharmacy online phentermine Purchase tramadol online. Phentermine sites that ship cash on delivery Viagra retail discount Home made viagra Valium vs xanax Xanax no prescription Viagra sales online Erection viagra Free viagra without prescription Phentermine fda Xanax withdrawl Effects phentermine side strong Information viagra woman What does phentermine do to your heart Long term phentermine use Viagra testimony Phentermine very cheap Buying phentermine Cialis pill? Discount online phentermine Buy cheap phentermine yellow Tramadol hcl tab Phentermine hydrochloride ship to missouri: Buy viagra prescription online Compare phentermine prices Cialis compare levitra viagra Picture of generic xanax Tramadol uses Recreational viagra use Generic india viagra Cheap viagra generic Cialis drug Natural phentermine Phentermine cheapest price 5 no perscription! Cialis and pomegranate interaction Viagra for woman? Ionamin phentermine Cheapest xanax online! Xanax drug interactions Buy cod phentermine Phentermine online Methadone and xanax Recreational viagra Viagra online sales Mexican phentermine Cod tramadol! Phentermine mexican pharmacies online Phentermine pictures Cheap phentermine without a prescription Compare viagra cialis levitra. Xanax master card Long term effects of xanax, Viagra cialis levitra comparison dosages Does viagra woman work 5 in round white tablets no imprint code 50 mg viagra Phentermine shipped cod Phentermine for less Viagra information Phentermine free consultation? Viagra kaufen Is tramadol a narcotic Cheap quality viagra Phentermine and topiramate for weightloss Diet loss phentermine pill weight Diet phentermine pill sale Kevin harvick viagra Xanax withdrawls Purchase viagra online Cialis new viagra. Viagra for woman information Online ordering viagra Viagra prescription uk Buying phentermine: Can i take xanax with zocor and procardia Phentermine overnight Does viagra work Low natural resources for the drug phentermine Viagra treatment migraine headache Buy in online uk viagra, Apcalis cialis 180 phentermine Black market costa rica pharmacy phentermine no imprint code Buying tramadol online Loss phentermine story success weight How much weight will you lose on phentermine Online xanax prescription Cialis compared to viagra Paxil with phentermine interactions Xanax addiction treatment. 0 buy by popl powered viagra wordpress Cheap tramadol 180 Viagra in woman Lethal doses of klonopin and xanax Stopping xanax Cialis overnight! Phentermine and urine drug screen Smoking xanax: Ingredient phentermine Saturday delivery phentermine Viagra prescription medication Free cialis 25 mg Viagra uses Xanax detoxification Viagra pictures Pfizer viagra online Online adipex phentermine prescriptions. Side effects of tramadol hydrochloride On line prescription viagra 100 phentermine Female spray viagra Tramadol hc Free viagra sample I need to find cheap phentermine delivered to fl Online pharmacy phentermine xenical meridia Compare phentermine prices Canada cialis generic? Xanax shipped cod No perscription xanax cheap Acquisto cialis Generic india viagra Buy cheap purchase uk viagra Viagra price Online phentermine pharmacy best cheapest Tramadol 50mg. Buy viagra online get prescription Addiction recovery xanax, Price for generic viagra Diet inexpensive phentermine pill Generic viagra canada No prescription phentermine Phentermine withdrawal symptoms Cheap viagra order online Cheapest viagra price Phentermine online doctor prescribed? Buy cialis uk Fast delivery phentermine, Keyword prescription qoclick tramadol without Tramadol dog Phentermine wholesale Snorting phentermine Discount phentermine online Tramadol online Cheap tramadol no prescription Cialis comparison levivia viagra Cheapest viagra online 92 accepted cod phentermine Cheap phentermine with online consultation Viagra alternatives uk Buy prescription tramadol without Buying viagra in the uk Xanax description Oxycontin xanax bars perclesept and lortab wha Generic viagra cialis Generic lowest price viagra Phentermine at cost with no prescription Picture of xanax pill Phentermine shortage Phentermine cheap free shipping Phentermine yellow 30 mg Addiction tramadol Tramadol hydrochloride tablet Phentermine cod delivery Online phentermine order Cyber pharmacy viagra Dangers of phentermine heart Buy cheap tramadol Xanax alcohol Cialis generic Tramadol prescription Free phentermine prescriptions 50 mg viagra Phentermine studies Viagra and levivia Phentermine feedback How long between phentermine and meridia Low cost phentermine Phentermine and topiramate for weightloss Tramadol hc Viagra overnight delivery Phentermine success stories Viagra cheap prescription Tramadol hydrochloride capsules Free shipping phentermine Diet pill addiction phentermine? Generic cialis soft tabs Side effects of xanax xr: Phentermine quick Buy xanax on line How long does xanax stay in the system Importing cialis from canada to us Buy cheap domain onlineatspacecom xanax Phentermine and diet pill

April 2005


Wazee Afrika ni vyuo vikuu ni moja ya makala mpya nne nilizoweka hapa bloguni leo. Nilikuwa sijapandisha makala zangu kwa muda. Sasa nimeweka nne kwa wakati mmoja. Makala zote hizi tayari zimetoka kwenye safu yangu ya kila jumapili, Gumzo la Wiki, katika gazeti la Mwanchi nchini Tanzania. Makala zenyewe ni hizi (bonyeza juu ya kichwa cha makala unayotaka kusoma): 1. Wazee Afrika ni yuo Vikuu 2. Wamasai, Polisi, Watumishi, na Watumikiwa 3. Ukoloni Mpya Umejificha: Jiandae kifikra 4. Mapana na Marefu ya Neno Amani
Makala hizi na nyingine ziko katika kona ya makala zangu upande wa kuume wa blogu, chini ya picha yangu.

Kwa wale wanaomjua mungu kwa jina lake ni Allah au Yehova tu, nenda hapa.

Kama sio Mama Junkyard pengine nisingefuatilia suala la kublogu toka kwenye mkutano wa wanablogu wanawake, BlogHer. Kutokana na juhudi na taarifa toka kwa Mama Junkyard kuna uwezekano mkubwa nikaenda kublogu moja kwa moja kwa lugha ya Kiswahili toka katika mkutano huo hapo majaaliwa ya Ruwa, mwezi wa saba.


Fuata kiungo hiki hapa usome habari mbalimbali kwa kiingereza kuhusu teknolojia ya blogu.

Kama wewe ni mtunzi wa vitabu na hutaki kupigapiga hodi kwa wachapaji au huna fedha za kuchapa kitabu chako mwenyewe, teknolojia ya uchapaji mtandaoni inakuwezesha kuchapa kitabu chako bure. Unabisha? Nenda hapa.

Mtoto wa aliyekuwa mwizi mkuu wa nchi ya Togo kwa karibu miaka 40, Faure Gnassingbe, amehalalishwa kuendelea kazi ya wizi aliyoianza baba yake miongo mingi iliyopita. Soma hapa.

Hii hapa ni blogu ya aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Uswidi.

Kabla papa mpya kuchaguliwa na wanadamu (ni wanadamu wanapiga kura kuchagua papa na sio mungu), baadhi ya wasomaji walikuwa wananiuliza kama nilikuwa naunga mkono suala la papa mpya kutokea Afrika. Nilishindwa kuwajibu. Sifahamu kwanini waliniuliza swali namba mbili kabla hawajaniuliza swali namba moja. Wangeniuliza kwanza kama ninaunga mkono kuwepo kwa cheo cha upapa hapa duniani. Au kama ninajali kuwepo kwa cheo hicho. Au kuwepo kwa kanisa katoliki la kirumi kabisa.
Nini kitafanya nijali kuwepo kwa kanisa hili la kirumi lililodanganya watu wangu wakaacha imani zao? Labda siku wakiondoa herufi “R” kwenye RC, yaani Roman Catholic na kuweka herufi “A” ili kuwa na AC, yaani African Catholic. Hebu niache kupoteza muda, kwanza hata hiyo African Catholic ya nini?
Hivi papa angetokea Afrika, angehamia Afrika na kuanza kunywa mvinyo wa asili kama mbege badala ya mvinyo toka magharibi? Kuna rafiki yangu mhubiri ambaye hivi karibuni ataanza kutoa mbege kila jumapili kama damu ya yesu iliyomwagika msalabani kwa dhambi za wanadamu. Ingawa habari yote hii ya damu kumwagika najua ni riwaya fulani, kitendo cha kutumia mbege kinanifanya nitake kuingia kanisa lake. Mchungaji anamhimiza muumini, “Ria se kidogo kwa jina la Bwana!”

Tazama filamu ya jamaa wa Creative Commons (Afrika Kusini) inayohusu mzunguko wa maarifa. Iko Hapa.

Kule Kenya wenye simu za mkono wanaweza kutafuta kazi kwa kutumia huduma ya ujumbe wa maandishi. Bonyeza hapa.

Wengi wetu huamini kuwa rushwa iko katika nchi zinazoitwa changa kama vile Tanzania. Jambo tusilojua ni kuwa rushwa katika nchi za kibepari imejificha sana. Mara chache hutokea watu wakang’amua kama ambavyo imetokea hivi karibuni ambapo mla rushwa katika chama cha Republican anaandamwa kwa mambo yake kuwekwa hadharani. Kila anapojitokeza kukanusha hili, jingine linatoka kesho yake. Sijui ni lini atanyanyua mkono na kukubali. Hebu soma habari hii.

Mapinduzi ya kila aina yanatokea kila upande. Wananchi walichachamaa na kuandamana (kule Jojia, Ukraine, Lebanoni serikali zikaanguka. Sasa huko Ecuador nako maandamano ya umma yameangusha serikali. Soma hapa, hapa , hapa na hapa. Wapi kunafuatia? Zimbabwe? Kenya? Tanzania? Marekani?

Polepole ndio mwendo, walituambia wahenga. Blogu za lugha za Kiafrika zinaongezeka kadri siku zinavyokwenda. Ukiacha blogu za Kiswahili, kuna blogu moja ya Ki-Bambara (Mali) ambayo bado ninatafuta anuani yake. Halafu kuna blogu nyingine ya rafiki yangu, Mokhtar, inakuja kwa lugha ya Ki-Berber. Kuna blogu ya Ki-Shona. Bonyeza hapa.

Dalili za kuwa dunia imeingia kwenye mapinduzi ya zana mpya za mawasiliano ni nyingi. Ila mojawapo ni hii: papa mpya wa dini ya kikatoliki ya Roma ana anuani ya barua pepe. Kama unataka kuandikiana naye, mwandikie kwa anuani hii: benedettoxvi@vatican.va

Msomaji wangu wa siku nyingi, Patrick Mwasomola, kaandika dakika chache zilizopita kwenye kitabu cha wageni. Anatukumbusha maneno ya unabii ya Bob Marley katika wimbo wake wa Uvamizi wa Usiku (Ambush In the Night). Hivi ndivyo alivyoandika:

Nimemkumbuka Bob Marley leo anatukumbusha kuwa:
WAMEKUWA WAKITULAGHAI
KWA SPEA PATI, PESA, NA BUNDUKI ZAO…
*****************************************

Katika wimbo huo Bob alikuwa akizungumzia mabepari ambao leo hii tunawaita wawekezaji na wahisani. Kama una rekodi ya Bob kasikilize wimbo huo vizuri.
** Neno jingine la kiswahili la Spea Pati ni Vipuli.

Nilipanga kublogu habari hii leo asubuhi lakini kwa kuwa asubuhi la leo lakini kutokana na sababu za kiufundi nilishindwa. Ninadiriki kusema kuwa katika ulimwengu wa blogu za Kiswahili ndio kumekucha sasa. Blogu niliyokuwa niliyokuwa nikiisubiri kwa muda mrefu sana imejitokeza toka matawi ya chini huko Australia. Hii ni blogu iitwayo Mwandani ya Joseph Nambiza Tungaraza, Mtanzania anayeishi nchini Australia. Hivi ndivyo anavyosema mwenyewe juu ya blogu hiyo: Mwandani keshaingia ulimwengu wa blogu.Humu ndani ya blogu hii nitapeperusha mawazo kadiri yanavyovinjari kichwani – siasa, utamaduni, sanaa, mapenzi, ubinadamu, mahusiano ya watu wa rangi tofauti, matabaka tofauti, mataifa tofauti - kadhalika maswala ya haki na demokrasia yetu Waafrika.

Ukienda katika blogu hiyo utakutana na mjadala mfupi kuhusu kifo cha Papa Yohane Paulo. Nimependa sana hoja anazojadili. Nimependa kwa mfano pale anaposema kuwa kama uchaguzi wa Papa ni uchaguzi wa mwakilishi wa Mungu duniani, hakuna haja ya watu kutaka eti Papa atoke sijui Afrika au Marekani ya Kusini. Ninakubaliana naye kabisa maana kwa mungu sisi wote ni familia moja. Hakuna masuala ya rangi au jiografia. Haya, tembelea blogu ya Mwandani (au tuseme mtembelee Tungaraza) hapa.

Juzi jumapili nilikutana na mmoja wa watu ambao nimekuwa nikiwafuatilia kwa muda mrefu toka nianze kujiingiza katika masuala ya blogu na teknolojia mpya za mawasiliano na habari, Ethan Zuckerman. Tulikutana katika mgahawa huu hapa. Tulizungumza juu ya mambo mbalimbali kuhusu blogu za Kiswahili na mradi anaoendesha wa Global Voices. Ni siku nyingi sana toka nikutane ana kwa ana na mtu anayeelewa kwa undani masuala ya teknolojia na pia siasa na tamaduni za Afrika na nchi nyingine duniani.
Nitaongelea kwa undani mazungumzo yetu baadaye. Kwa sasa ningependa umfahamu Zuckerman. Ethan Zuckerman ni mtafiti katika chuo kikuu cha Harvard. Habari zaidi juu yake hapo Harvard na mengine ambayo amewahi kufanya hapa. Soma blogu yake hapa. Pia kuna mahojiano yake hapa. Anajihusisha na mradi wa world changing. Kongoli hapa. Na mkono wake uko nyuma ya mradi huu hapa.



Nimekutana na hii redio ya mtandaoni wakati nikitembelea tovuti ya www.uchaguzitanzania.com. Hivi sasa ninawasikiliza washairi wa mijini (huku ughaibuni wanawaita “urban poets”) wakishusha aya bin aya. Sijui jamaa hawa ni akina nani. Ila jamaa wanaandika mashairi sio mchezo. Nadhani huyu ni Juma Nature. Tembelea redio hii hapa.

Moja ya mabadiliko makubwa yanayotokana na teknolojia ya zana mpya za habari za mawasiliano na habari ni uwezo wa wananchi wenye nyenzo hizi kuweza kupata habari kwa urahisi zaidi na pia kushiriki katika mijadala ya kisiasa. Mfano mmojawapo ni tovuti ya uchaguzi Tanzania iliyoko hapa.

Kuna makala mpya mbili motomoto za Padri Karugendo. Ya kwanza inazumguzia mjadala ulioendeshwa na Tido Mhando wa BBC na Profesa Chachage na Mama Luhane kuhusu Papa Paulo. Kichwa chake ni: Papa Yohane Paulo: Hasi na Chanya. Isome hapa. Nyingine inauliza juu ya ukimya wa upinzani kipindi hiki ambacho moto wa uchaguzi mkuu tayari umewashwa. Isome hapa. Makala zake nyingine ziko kwenye kona yake, Kalamu ya Padri Karugendo chini ya makala zangu na Freddy Macha. Sijapandisha makala zangu muda kidogo. Nitafanya hivyo leo. Pia baadhi mmeniuliza mbona nimekuwa kimya kuhusu kifo cha Papa Paulo. Nadhani nimetaka nyoyo za watu zitulie kwanza kabla sijasema lolote.

Next Page »