Mshindi wa uchaguzi wa urais nchini Benin, Yayi Boni, (ambaye ni mgombea huru [kwa habari nilizonazo] ni mwanablogu! Anatumia huduma ya kublogu Typepad, ambayo ni ya kulipia. Bonyeza hapa umsome (iwapo unajua kifaransa zaidi ya neno “bonjour”). Mgombea urais wa Chadema, Freeman Mbowe, ana blogu ila haikuitumia wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu Tanzania.