Wed 22 Mar 2006
Mshindi wa uchaguzi wa urais nchini Benin, Yayi Boni, (ambaye ni mgombea huru [kwa habari nilizonazo] ni mwanablogu! Anatumia huduma ya kublogu Typepad, ambayo ni ya kulipia. Bonyeza hapa umsome (iwapo unajua kifaransa zaidi ya neno “bonjour”). Mgombea urais wa Chadema, Freeman Mbowe, ana blogu ila haikuitumia wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu Tanzania.
WordPress database error: [Table 'wp_comments' is marked as crashed and last (automatic?) repair failed]
SELECT * FROM wp_comments WHERE comment_post_ID = '1131' AND comment_approved = '1' ORDER BY comment_date