Mon 29 Jan 2007
Mwanablogu + Mwanablogu = Mahaba, Tamasha la Sauti za Busara
Na Ndesanjo Macha, Maudhui: wanablogu , Muziki , tanzaniaKumbe blogu zaweza kuwa chanzo cha mahaba na hata ndoa! Mmh….Bonyeza hapa upate habari nzima.
Michuzi katukumbusha kuwa tamasha la muziki liitwalo Sauti za Busara la mwaka huu litafanyika mwezi ujao. Bonyeza hapa uende kwenye tovuti ya tamasha hili. Michuzi alihudhuria tamasha la mwaka jana. Ukibonyeza hapa utaona picha alizotuletea an habari alizoandika toka Zanzibar kwenye tamasha hilo (kwenye kiungo hicho tazama aliyoandika mwaka jana).
WordPress database error: [Table 'wp_comments' is marked as crashed and last (automatic?) repair failed]
SELECT * FROM wp_comments WHERE comment_post_ID = '1357' AND comment_approved = '1' ORDER BY comment_date