Kumbe blogu zaweza kuwa chanzo cha mahaba na hata ndoa! Mmh….Bonyeza hapa upate habari nzima.

Michuzi katukumbusha kuwa tamasha la muziki liitwalo Sauti za Busara la mwaka huu litafanyika mwezi ujao. Bonyeza hapa uende kwenye tovuti ya tamasha hili. Michuzi alihudhuria tamasha la mwaka jana. Ukibonyeza hapa utaona picha alizotuletea an habari alizoandika toka Zanzibar kwenye tamasha hilo (kwenye kiungo hicho tazama aliyoandika mwaka jana).