Nambiza Tungaraza amefanya mahojiano mazuri sana na mwanablogu mwenzetu, Jeff Msangi. Jeff, pamoja na mambo mengine, anazungumzia uhusiano wa blogu na maendeleo ya jamii. Bonyeza hapa usome mahojiano yenyewe. Baada ya mahojiano hayo kutolewa, Christian wa blogu ya Web2forDev ametoa habari iliyotokana na mahojiano ya Jeff. Habari yenyewe inasema: “Tanzania - an example of the vibrant African blogosphere.” Bonyeza hapa uisome.