Baada ya tovuti ya mashada.com kuanza kutumiwa kama uwanja wa kusambaza chuki za kikabila kufuatia ujambazi wa demokrasia uliofanyika nchini Kenya, David Kobia ameamua kuja na kampeni ya kuondoa ukabisa nchini Kenya kwa kufungua tovuti inayosema, sina kabila. Bonyeza hapa uone ihavenotribe.com