Sokari Ekine hakuwa amesoma Azimio la Arusha. Ila sasa amelisoma na kusema:

I had never read the Arusha Declaration and only have superficial knowledge of Julius “Mwalimu” Nyerere in terms of his role in the struggle for independence in Africa and as a Pan Africanist along with Nkrumah. But reading it now I realise what a revolutionary document the Arusha Declaration (AD) was and still is. One example of the AD which has since been dismantled in Tanzania was the removal in 1992 of all restrictions that had previously prevented Tanzanian leaders from participating in business activities. Nyerere believed it was not possible for those in leadership positions to serve both the public interests and their own private commercial interests and to do so would lead to corruption.

Inaelekea kuwa Nyerere alijua kuwa kuna viongozi mafisadi kama Lowassa ambao wakiingiza mikono yao kwenye biashara na utumishi wa umma, basi nchi imekwisha. Soma habari nzima aliyoandika Sokari aliyoiita The Spirit of Nyerere.