Je unafahamu mtu yeyote mwenye lori nchini Zimbabwe?
Vichekesho vya kisiasa vimetawala simu za mkono nchini Zimbabwe kama ilivyotokea Tanzania baada ya waziri mkuu wa zamani kugundulika kuwa alikuwa akituibia. Vichekesho hivi vya kisiasa husambazwa kama virusi.

Anyone know someone with a truck? There’s a guy wanting to move all his stuff from State House to Zvimba. The jokes spread as text messages refer to our aged dictator relocating to his rural home.

Soma hapa.

Halafu inasemekana kuwa kuna kampuni ya Israeli imehusika na wizi wa kura Zimbabwe:

On Friday, March 28th, an online newspaper called “Zimbabwe Online” published an article accusing Cogniview, an Israeli startup company, of helping Robert Mugabe rig the Zimbabwean elections.

Soma hapa.